Translate

Sunday, June 26, 2016

Hadithi ya Leo - Itikaf (Kukesha Msikitini na kumkumbuka Allah)

Imehadithiwa na Abu Said Al-Khudri:
Mtume wa Allah (ﷺ) alikuwa akikesha msikitini kwenye siku kumi za kati za Ramadhani, na siku moja alikesha mpaka usiku wa ishirini na moja, na ilikuwa usiku ambayo  asubuhi yake, alikuwaga akitokaga itikaf. Mtume akasema, "Yeyote aliyekuwa kwenye Itikaf na mimi abaki kwenye itikaf kwa siku kumi za mwisho, kwani niliambiwa tarehe ya usiku wa nguvu, lakini nime sahaulishwa. Kwenye Ndoto, nilijiona nikisujudu kwenye tope na maji asubuhi ya usiku huo.  Kwahiyo, utafuteni siku kumi za mwisho na iwe usiku wa witiri(i.e.21,23,25,27,29)". Ilinyesha ule usiku na paa la msikiti lili achiya, kwani lilikuwa limetengezwa na majani ya minazi. Niliona na macho yangu alama ya tope na maji kwenye paji la uso la Mtume (i.e. asubuhi ya usiku wa 21).


Narrated Abu Sa`id Al-Khudri:
Allah's Messenger (ﷺ) used to practice I`tikaf in the middle ten days of Ramadan and once he stayed in I`tikaf till the night of the twenty-first and it was the night in the morning of which he used to come out of his I`tikaf. The Prophet (ﷺ) said, "Whoever was in I`tikaf with me should stay in I`tikaf for the last ten days, for I was informed (of the date) of the Night (of Qadr) but I have been caused to forget it. (In the dream) I saw myself prostrating in mud and water in the morning of that night. So, look for it in the last ten nights and in the odd ones of them." It rained that night and the roof of the mosque dribbled as it was made of leaf stalks of date-palms. I saw with my own eyes the mark of mud and water on the forehead of the Prophet (i.e. in the morning of the twenty-first). 
( Bukhari 2027)
 

No comments:

Post a Comment