Translate

Sunday, July 6, 2014

Maji au MAJII?

Kama we si mpenzi wa maji, jaribi kuloweka matunda(ya pondeponde ndani ya jagi) na maji ya kunywa usiku kucha, utaacha kunya soda. Okay maybe not, but atleast utapunguza kunywa yale maji ya sukari yaliyojazwa gesi. Tujitahidi kunywa glasi 6-8 za maji kwa siku, kwani maji husaidia kuendesha mwili na pia itakusaidia kupungua.

No comments:

Post a Comment