Na wasomee habari ya wana wawili wa Adam kwa
 ukweli. Walipo toa sadaka, ukakubaliwa wa mmoja wao, na wa mwengine 
haukukubaliwa. [Moja]Akasema: "Nitakuuwa". Akasema mwengine: "Mwenyezi Mungu 
huwapokelea wachamngu,ukininyooshea mkono wako kuniuwa, mimi 
sitakunyooshea mkono wangu kukuuwa. Hakika mimi namwogopa Mwenyezi 
Mungu, Mola wa walimwengu wote.Mimi nataka ubebe dhambi zangu na dhambi 
zako, kwani wewe utakuwa miongoni mwa watu wa Motoni. Na hayo ndiyo 
malipo ya wenye kudhulumu". Basi nafsi yake ikampelekea kumuuwa nduguye, akamuuwa na akawa miongoni mwa wenye hasara. Hapo Mwenyezi Mungu akamleta kunguru anaye 
fukua katika ardhi ili amwonyeshe vipi kumsitiri nduguye. Akasema: Ole 
wangu! Nimeshindwa kuwa kama kunguru huyu nikamsitiri ndugu yangu? Basi 
akawa miongoni mwa wenye kujuta. 
And  recite  to  them  the  
story  of  Adam's  two  sons,  in  truth,  when  they  both  offered  a 
sacrifice  [to Allah ],  and  it  was  accepted  from  one  of  them  
but  was  not  accepted  from the  other.  Said  [the  latter],  "I  
will  surely  kill  you."  Said  [the  former],  "Indeed, Allah only 
accepts  from  the  righteous  [who  fear  Him]. If  you  should  raise  your  
hand  against  me  to  kill  me  -   I  shall  not  raise  my  hand  
against you  to  kill  you.  Indeed,  I  fear Allah ,  Lord  of  the  
worlds.Indeed  I  want  you  to  obtain
  [thereby]  my  sin  and  your  sin  so  you  will  be  among  the 
companions  of  the  Fire.  And  that  is  the  recompense  of  
wrongdoers."And  his  soul  permitted  to  him  the  murder  of  his  brother,  so  he  killed  him  and  became among  the  losers.Then Allah sent  a  crow  
searching  in  the  ground  to  show  him  how  to  hide  the  disgrace 
of  his  brother.  He  said,  "O  woe  to  me!  Have  I  failed  to  be 
 like  this  crow  and  hide  the body  of  my  brother?"  And  he  
became  of  the  regretful.(Qur'an 5:27-31)
No comments:
Post a Comment