Translate

Thursday, June 8, 2017

Aya za Leo - Udanganyifu (Deception)



Na katika watu, wako wasemao: Tuna mwamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho, wala wao si wenye kuamini.Wanatafuta kumdanganya Mwenyezi Mungu na wale walio amini, lakini hawadanganyi ila nafsi zao; nao hawatambui.Nyoyoni mwao mna maradhi, na Mwenyezi Mungu amewazidishia maradhi.  Basi watakuwa na adhabu chungu kwa sababu ya kusema kwao uwongo.

Na wanapo ambiwa: Msifanye uharibifu ulimwenguni. Husema: Bali sisi ni watengenezaji.
Hakika wao ndio waharibifu, lakini hawatambui.

And of the people are some who say, "We believe in Allah and the Last Day," but they are not believers.They [think to] deceive Allah and those who believe, but they deceive not except themselves and perceive [it] not. In their hearts is a disease, so Allah has increased their disease; and for them is a painful punishment because they [habitually] used to lie.

And when it is said to them, "Do not cause corruption on the earth," they say, "We are but reformers."
Unquestionably, it is they who are the corrupters, but they perceive [it] not. (Qur'an 2:8-2:12)

No comments:

Post a Comment