Translate

Saturday, June 10, 2017

Aya ya Leo - Wealth (Mali)

Mfano wa wanao tumia mali zao katika Njia ya Mwenyezi Mungu ni kama mfano wa punje moja iliyo chipuza mashuke saba. Katika kila shuke zimo punje mia.
Na Mwenyezi Mungu humzidishia amtakaye, na Mwenyezi Mungu ni Mwenye wasaa na Mwenye kujua.

The example of those who spend their wealth in the way of Allah is like a seed [of grain] which grows seven spikes; in each spike is a hundred grains.
And Allah multiplies [His reward] for whom He wills. And Allah is all-Encompassing and Knowing.
(Qur'an 2:261)

No comments:

Post a Comment