Translate

Friday, June 30, 2017

Aya ya Leo - Qur'an


Yeye ndiye aliye kuteremshia Kitabu hichi. Ndani yake zimo Aya muhkam, zenye maana wazi. Hizo ndizo msingi wa Kitabu hichi. Na ziko nyengine za mifano. Ama wale ambao nyoyoni mwao umo upotovu wanafuata zile za mifano kwa kutafuta fitna, na kutafuta maana yake; na wala hapana ajuaye maana yake ila Mwenyezi Mungu. Na wale wenye msingi madhubuti katika ilimu husema: Sisi tumeziamini, zote zimetoka kwa Mola wetu Mlezi. Lakini hawakumbuki hayo isipo kuwa wenye akili.

He is the One who has revealed to you the Book(the Qur'an). Out of it there are verses that are Muhkamat(of established meaning), which are the principal verses of the Book, and some others are Mutashabihat (whose definite meanings are unknown). Now those who have perversity in their hearts go after such part of it as is mutashabih, seeking (to create) discord, and searching for its interpretation (that meets their desires), while no one knows its interpretation except Allah; and those well-grounded in knowledge say:"We believe therein; all is from our Lord." Only the men of understanding observe the advice. (Qur'an 3:7)

Ijumaa Njema


No comments:

Post a Comment