Translate

Sunday, December 28, 2014

Ustadhi Ali Comorian Afariki Dunia


Sheikh Ali Mzee Bin Comorian ametutoka duniani. Sheikh alikuwa na madrasa yake ya kufundisha dini kwa watu wazima mtaa wa kariakoo, na ni mbunifu wa kaswida nyingi za dini hapa nyumbani. 
Mazishi yake yata fanyika kesho saa Nne(4) asubuhi, Mtaa wa Kariakoo na Likoma kwa Maalim Bahiya, na sala itafanyika msikiti wa makonde. 
Marehemu aacha mke.
Inna lillahi waina illahi rajiun. Mwenyezi Mungu amfungulie milango ya pepo, amrehemu na kumpa maghfira.

No comments:

Post a Comment