Translate

Monday, December 22, 2014

Hadithi ya Leo - Ulimi (Tongue)


Imehadithiwa na Abdullah Bin Umar:
Sa'd bin Ubada aliuguwa na Mtume(S.A.W) pamoja na Abdur Rahman Bin Auf, Sa'd bin Abi Waqqas na Abdullah bin Mas'ud walimtembelea kumjulia hali. Alipofika, akamkuta kazungukwa na watu wake wa nyumbani, akauliza, amesha fariki? Wakajibu, hapana Mtume wa Allah. Mtume akaanza kulia, watu walivyo ona analia, na wao wakaanza kulia. Akasema,

"mnaweza kunisikiliza? Allah hamuadhibu mtu kwa machozi ya watu, wala kwa huzuni kwenye mioyo ya watu, lakini ana adhibu au ana samehe kwasababu ya hii," Akanyooshea ulimi na kuongeza, "Marehemu ana adhibiwa kwa vilio vya makelele yenye maneno kutoka kwa ndugu zake kwa ajili yake."

Umar alikuwa ana chapa watu na fimbo, na kurushia mawe and kumwagia mchanga kwenye nyuso za watu wanaolilia marehemu zao kwa makelele, maneno na vishindo.

Narrated `Abdullah bin `Umar:
Sa`d bin 'Ubada became sick and the Prophet (ﷺ) along with `Abdur Rahman bin `Auf,

Sa`d bin Abi Waqqas and `Abdullah bin Mas`ud visited him to inquire about his health.
When he came to him, he found him surrounded by his household and he asked, "Has he died?"
They said, "No, O Allah's Apostle." The Prophet (ﷺ) wept and when the people saw the
weeping of Allah's Messenger (ﷺ) they all wept. He said, 


"Will you listen? Allah does not punish for shedding tears, nor for the grief of the heart but he punishes or bestows His Mercy because of this." He pointed to his tongue and added, 
"The deceased is punished for the wailing of his relatives over him."

 `Umar used to beat with a stick and throw stones and put dust over the faces (of those who used to wail over the dead).



No comments:

Post a Comment