Translate

Thursday, July 26, 2012

Shairi la Leo - Msomaji Hadija Binti Omari

Kuna wakati mwingine mtu anakupatia ujumbe wa mwenyezi mungu kwa kuongea tu, una sikilizi ikiisha unaendelea zako na shughuli zako na wala hukumbuki alichokisema. Lakini akiimba kwa style ya Shairi na sauti nzuri, maneno yale yale ya mwanzo, unaguswa zaidi hata chozi utatoa. Mwenyezi Mungu akikupa kipaji bwana, ni baraka juu ya baraka.

Nawaacha na Shairi hili la dini, lilosomwa na Hadija Binti Omari. Jamani tukumbukeni kufanya Ibada sana kwenye huu mwezi mtukufu.


 Masha'allah! Mwenyezi Mungu amzidishie elimu na imani huyu binti.






1 comment: