
Imehadithiwa na Saud:
Mtume (ﷺ) alisema, "ukisikia kuna mripuko wa ugonjwa unaoambukiza kwenye ardhi, usiingie; lakini kama ugonjwa huo ukitokea sehemu ulipo, usiondoke sehemu hiyo."
Narrated Saud:
The Prophet (ﷺ) said, "If you hear of an outbreak of plague in a land, do not enter it; but if the plague breaks out in a place while you are in it, do not leave that place."
(Sahih Al-Bukhari 5728)
Stay Safe everyone!
May Allah protect us all.
Beautiful hadith!
ReplyDelete