Translate

Saturday, April 4, 2015

Moja ya Mapango makubwa duniani Vietnam

Yaani hili pango ni kubwa mno, wamelirekodi kutumia drones(zile ndege
ndogo kama toy) wakaiwekea video camera, basi ikazunguka karibia pango
zima. Yaani pango lina  msitu na mto wake wenyewe.
Just Watch and Enjoy God's creation.

Ni Mji chini ya Mji. 
Hivi yale mapango yetu ya Amboni Tanga, tunashindwa kweli kutuma kijidenge cha toy na HD cam corder ichukua video ya pango nzima? Maana hii ni marketing tosha kwa Vietnam, ma tourist wata miminika  kuiona this major wonder of the world that we do not know of.

No comments:

Post a Comment