Translate

Thursday, April 23, 2015

Mawaidha ya Leo kutoka kwa Mufti Menk



Sheikh kasema yote. Huwa nampenda huyu sheikh cause anaishi kwenye dunia ya leo, yaani he's a realist.
Mambo ya majini na mapepo sikuhizi imekuwa too much sasa, mpaka watu wanasahau kuishi maisha yao ya kila siku. 
Happy Thursday Folks!

No comments:

Post a Comment