Translate

Tuesday, September 3, 2019

Hadithi ya Leo - Adhan (Call to Prayer)


Imehadithiwa na Ibn Umar:

Waislamu walivyo wasili Madina, walikuwa wakikusanyika kusali kwa kukadiria muda wake. Enzi hizo, Adhan ya kuwaita watu kuswali ilikuwa haipo. Watu waka pendekeza itumike kengele kama wakristo, na wengine wakapendekeza tarumbeta kama inayotumika na wayahudi, lakini Umar ndio alikuwa wa kwanza kupendekeza itumike sauti ya mtu kuwaita watu kwenye sala. Kwahiyo Mtume wa Allah, akamuamrisha Bilal apande juu na kutangaza Adhan kuita watu kuswali.

Narrated Ibn `Umar:

When the Muslims arrived at Medina, they used to assemble for the prayer, and used to guess the time for it. During those days, the practice of Adhan for the prayers had not been introduced yet. Once they discussed this problem regarding the call for prayer. Some people suggested the use of a bell like the Christians, others proposed a trumpet like the horn used by the Jews, but `Umar was the first to suggest that a man should call (the people) for the prayer; so Allah's Messenger (ﷺ) ordered Bilal to get up and pronounce the Adhan for prayers. (Bukhari 604)

No comments:

Post a Comment