Translate

Friday, October 19, 2018

Aya za Leo - Adabu (Manners)


Mtume alikunja kipaji na akageuka
Kwa sababu alimjia kipofu [akamkatiza]
Na nini kitakujuulisha pengine yeye atatakasika?
Au ata kumbushwa, na ukumbusho utamfaa?
Na yule ajionaye hana haja,
Wewe ndio unamshughulikia?
Na si juu yako kama hata takasika.
Lakini yule aliye kujia kwa juhudi
Akiwa na uoga,
 Ndio wewe unampuuza?
Sivyo hivyo! Huku ni kukumbushana.
Basi anaye penda akumbuke.
Yamo katika kurasa zilizo hishimiwa.


The Prophet frowned and turned away
Because there came to him the blind man, [interrupting].
But what would make you perceive, [O Muhammad], that perhaps he might be purified
Or be reminded and the remembrance would benefit him?
As for he who thinks himself without need,
To him you give attention.
And not upon you [is any blame] if he will not be purified.
But as for he who came to you striving [for knowledge]
While he fears [ Allah ],
From him you are distracted.
No! Indeed, these verses are a reminder;
So whoever wills may remember it.
[It is recorded] in honored sheets. (Qur'an 80:1-13)

Jumaa Mubarak!