Translate

Friday, July 31, 2015

Aya ya Leo - Ardhi


Mliumbwa kutoka kwenye ardhi, na ndani yake tutakurudisheni, na kutoka humo tutakutoeni tena muda mwingine.

From the earth We created you, and into it We will return you, and from it We will extract you another time. (Qur'an 20:55)
 Jumaa Mubarak!

Friday, July 24, 2015

Aya ya Leo - Viwili (Pairs)

 
Ametakasika, aliye umba kila kitu viwili viwili, vyote katika vinavyo mea katika ardhi na katika nafsi zao, na katika wasivyo vijua.
 
Exalted is He who created all pairs - from what the earth grows and from themselves and from that which they do not know. (Qur'an 36:36)
 Jumaa Mubarak!

Sunday, July 19, 2015

Mawaidha ya Leo kutoka kwa OTHMAN MAALIM

Natumaini Sikukuu yako Eid ilikuwa nzuri. Basi tuusindikize Mfungo sita na maneno mazuri kutoka kwa Othman Maalim.

Ustadh kaongelea point nzuri, Mungu saa nyingine anakupa kikubwa zaidi ya wewe ulichokiomba.
Allah anayajua usiyajua wewe.
Tumuombe atupe Muongozo Mzuri.

Friday, July 17, 2015

Aya ya Leo - Mbingu na Ardhi (Heaven and Earth)


Mwenyezi Mungu ameumba mbingu na ardhi kwa Haki. Kwa hakika katika hayo ipo Ishara kwa Waumini.

Allah created the heavens and the earth in truth. Indeed in that is a sign for the believers.
(Qur'an 29:44)

Kula Daku (Suhoor) by any means Possible

Its amazing how his hand never missed the plate.
Chezea Msosi.

How I will miss these moments. 
Bye Bye Ramadhan, In'Shaa'llah we will meet again Next Time.

Thursday, July 16, 2015

Eid Mubarak Everyone!

I have to say I will miss Ramadhan for sure, but hey we can't dwell on what has passed, we can only welcome a new month of Shawwal with all its Glory. The Festivities, the food, the gatherings, the visomos every corner. I love Eid.

Happy Eid-Al-Fitr to you and yours! 



Friday, July 10, 2015

Aya ya Leo - Protector(Mlinzi)


Mfano wa walio wafanya walinzi badala ya Mwenyezi Mungu, ni mfano wa buibui alivyo jitandia nyumba. Na hakika nyumba dhaifu mno kuliko zote ni jumba la buibui, laiti kuwa wangejua.

The parable of those who take protectors other than Allah is that of the spider, who builds (to itself) a house; but truly the flimsiest of houses is the spider's house;- if they but knew. (Qur'an 29:41)


Ijumaa Mubarak Wandugu! 
Tusisahau usiku wa lailatul qadr kuamka kuswali, In'shaa'llah Allah Atasikiliza dua zetu sote. 

Thursday, July 9, 2015

Have you given your Sadaqa yet?

Lets keep in mind the many refugees around the world that have fled their homes to protect themselves. A simple google search can give you many aid agencies helping out in these camps, donate to the organization of your choice.
 If you are from a developing or underdeveloped country, you don't have to look too far, help where you can and as much as you can.

Refugee Camp ya Kigoma watu wanaishi kwenye mazingira magumu sana, tujitahidi kuwasaidia kwa lolote tutachoweza (Muda wako, pesa, nguo, chakula, Dawa, Dua na kadhalika).

Mwenyezi Mungu Awalinde.

Tuesday, July 7, 2015

Repost:: The Last 10 Days of Ramadhan

The last 10 days of Ramadhan, are known as the days to seek refuge wtih Allah from the fire of hell.  These last days are important as the Night of Power is found in one of them, but also hard as the fasting really starts to take a toll on you. The prophet used to increase worship during this period, and he also would wake up his family to pray as well. As we journey through it, Lets set our goals, reflect on ourselves, our actions, our relationship with others and our relationship with God.I leave you with the Ramadhan dua(Prayer) to say during this time.

"Allahumma Ajirna min-an-naar."
O Allah, protect us from the fire.
Ya Allah, tulinde na Moto.

Also see my post on Ramadhan Dua- Ya Tawaab

Repost:: Surah Al Qadr - The Night of Power

In the Name of Allah most gracious and merciful.
Indeed! We sent the Quran down during the night of Decree.
And what can make you know what is the Night of Decree?
The night of Decree is better than a thousand months (of worship)

The Angels and the Spirit(Jibril or Gabriel) descend therein by permission of their Lord for every matter.

Peace!(All that night, there is Peace and Goodness from Allah to his believing slaves) until the appearance of dawn.

Allah the Honored said the truth.
The surah above was quoted as is from the Quran.

The night of power is a very important night for Muslims, as it is the holiest night of the whole year.We look for this day on odd days in the last 10 days of Ramadhan. Since we don't know the exact day it falls on, and one night of worship on that day is equivalent to a 1000 months of worship, we don't want to take the risk of missing it. Therefore it is advisable to wake up on all those odd nights and pray. Inshaa'llah! we will all remember to wake up at night and pray for Allah's blessings and forgiveness.

Friday, July 3, 2015

Aya za Leo - Uumbaji (Creation)


Je! Wao hawaoni jinsi Mwenyezi Mungu anavyo anzisha uumbaji, na kisha akarudisha tena. Hakika hayo kwa Mwenyezi Mungu ni mepesi. Sema: Tembeeni katika ardhi na tazameni jinsi alivyo anzisha uumbaji; kisha Mwenyezi Mungu ndiye anaye umba umbo la baadaye. Hakika Mwenyezi Mungu ni Muweza juu ya kila kitu.

Have they not considered how Allah begins creation and then repeats it? Indeed that, for Allah , is easy.Say, [O Muhammad], "Travel through the land and observe how He began creation. Then Allah will produce the final creation. Indeed Allah , over all things, is competent."
(Qur'an 29:19-20)


Wednesday, July 1, 2015

Hadithi ya Leo - Ulimi

Imehadithiwa na Abu Huraira:
Mtume alisema,  "Yoyote ambaye hata acha kusema uongo na matendo maovu, Allah hamuitaji aache chakula na kinywaji chake (Allah hatokubali funga yake.)"


Narrated Abu Huraira:
The Prophet (ﷺ) said, "Whoever does not give up forged speech and evil actions, Allah is not in need of his leaving his food and drink (i.e. Allah will not accept his fasting.)"

Sahih al-Bukhari 1903