Translate

Friday, August 31, 2018

Aya ya Leo - Duniani (This World)



Walio kufuru wamepambiwa maisha ya duniani; na wanawafanyia maskhara walio amini. Na wenye kuchamngu watakuwa juu yao Siku ya Kiyama. Na Mwenyezi Mungu humruzuku amtakaye bila ya hisabu.


Beautified for those who disbelieve is the life of this world, and they ridicule those who believe. But those who fear Allah are above them on the Day of Resurrection.
And Allah gives provision to whom He wills without account.
(Qur'an 2:212)

Monday, August 20, 2018

Hadithi ya Leo - Arafat



Alihadithia 'Abdur-Rahman bin Ya'mar:

Kwamba Mtume wa Allah(S.A.W) alisema: " Haji ni Arafat, Haji ni Arafat, Haji ni Arafat. Siku za mina ni tatu, lakini
yeyote atakaye harakisha akaondoka baada ya siku mbili, basi hamna dhambi kwake, na yeyote atakae baki, basi na yeye pia hamna
dhambi kwake (Qur'an 2:203). Na yeyote atakayeona Arafa kabla ya Alfajiri, basi amesha Hiji."

Ibn Abi 'Umar alisema: "Sufyan bin 'Uyainah alisema: "Hii ndio hadithi bora aliyo hadithia Ath-Thawri."

Narrated 'Abdur-Rahman bin Ya'mar:
that the Messenger of Allah (S.A.W) said: "The Hajj is 'Arafat, the Hajj is 'Arafat, the Hajj is 'Arafat. The days of Mina
are three: But whoever hastens to leave in two days, there is no sin on him, and whoever stays on, there is no sin on him (2:203).
And whoever sees (attends) the 'Arafah before the rising of Fajr, then he has performed the Hajj." 


Ibn Abi 'Umar said: "Sufyan bin 'Uyainah said: 'This is the best Hadith that Ath-Thawri reported.'"   


(Tirmidhi: Book 47, Hadith 3241)

Friday, August 17, 2018

How to Perform Hajj-Step By Step Hajj Guide

Safe Hajj to all our Hajj Goers.
Please remember to make Dua's for us.

Aya ya Leo - Ukamilifu (Completely)



Enyi mlio amini! Ingieni katika Uislamu kwa ukamilifu, wala msifuate nyayo za She'tani;
hakika yeye kwenu ni adui aliye wazi.

O you who have believed, enter into Islam completely [and perfectly] and
do not follow the footsteps of Satan. Indeed, he is to you a clear enemy.(Qur'an 2:208)