Translate

Wednesday, August 26, 2020

Hadithi ya Leo - Kufunga Ashura

 

Imehadithiwa na Aisha:

Mtume wa Allah aliwa amrisha waislamu wafunge siku ya Ashura, na kufunga mwezi wa Ramadhani ulivyo faradhishwa, ikawa hiari kufunga siku ya Ashura.
 
Narrated `Aisha:

Allah's Messenger (ﷺ) ordered (the Muslims) to fast on the day of 'Ashura', and when fasting in the month of Ramadan was prescribed, it became optional for one to fast on that day ('Ashura') or not.

(Bukhari 2001)

Friday, August 14, 2020

Aya ya Leo - Jahannam (Hell)

 



Na tumeiumbia Jahannamu majini wengi na watu. Wana nyoyo, lakini hawafahamu kwazo. Na wana macho, lakini hawaoni kwayo. Na wana masikio, lakini hawasikii kwayo. Hao ni kama nyama howa, bali wao ni wapotofu zaidi. Hao ndio walio ghafilika.

And surely, We have created many of the jinns and mankind for Hell. They have hearts wherewith they understand not, they have eyes wherewith they see not, and they have ears wherewith they hear not (the truth). They are like cattle, nay even more astray; those! They are the heedless ones.
(Qur'an 7:179)
Jumaa Mubarak!