Translate

Monday, September 28, 2015

Maafa ya Msongamano wa Mina Nje ya Makka

Mmoja wa mahujjaj kutoka group ya Kenya akielezea tukio la Maafa ya Mina.
 
Mnasikia alivyosema, wamefunga njia. Jamani haya kwakweli ni Makosa ya Serikali ya Saudia.Waajiri kampuni ya kuwasadia ku manage crowd sasa. Tena wakitangaza tu tenda, makampuni kibao yatajitokeza.

No comments:

Post a Comment