Translate

Saturday, July 5, 2014

Nyumba za Udongo Palestina‏

Wa palestina kutokana na uhaba wa kupata Saruji na vifaa vya kujengea nyumba, ambazo wana zinunua kutoka Israel na nchi zingine za nje, wamechukua uamuzi wa kujenga nyumba za udongo. ShamsArd, Kampuni ya usanifu wa majengo palestina, ndo kampuni ya kwanza iliyochukua uamuzi wa kujenga hizi nyumba za udongo ili waweze kujitegemea wenyewe.  Nyumba hizi ni za bei ndogo, Hulinda mazingira, na pia kutokana na hali ya kivita ya hiyo sehemu ya west bank, kutwa nyumba zao hubomolewa. Gharama yake ya kuijenga tena nyumba kama hii ni ndogo ukilinganisha na nyumba ya saruji.

      Nyumba ya Ahmad Doud iliyokuwa mji wa Jericho, West Bank, Palestina.

In'Shaa'llah! wataweza kujitegemea na vitu vingine.


No comments:

Post a Comment