Translate

Monday, July 23, 2012

Msomi wa Leo - Imam Saud Al-Shuraim

Imam (Dr.) Saud Al-Shuraim(PHD) ni moja wa imam wakuu wa Msikiti wa Makka Masjid al-Haram. Ni Professor na Mkuu wa Idara ya Sheria na masomo ya Kiislamu Chuo Kikuu cha Umm al-Qura Makka, na ni Hakimu wa Sheria pia Makka. Kaandika vitabu vingi tu vya kiislamu na mashairi, na ana swalisha pia kwenye msikiti wa Al-Haram. Kazaliwa mwaka 1964 na ana mke moja na watoto watatu(wavulana wawili na msichana moja).


Sikiliza Surah Ar-Ra'd - Qur'ani Kurasa 13 iliteremka Medina na imesomwa na Imam Saud Al-Shuraim
Mwenyezi Mungu amzidishie elimu na baraka za dunia na akhera.



Ukitaka tafsiri yake ya kiswahili, Nenda hapa.

No comments:

Post a Comment