Translate

Friday, July 27, 2012

FUTARIIIIIIII!!!!!!!!!!! PART 2

Kwanza naanza na kumshukuru Mungu Alhamdullilah kwa kutufikisha mpaka tukamaliza wiki ya kwanza ya Ramadhani. Enhe! Sasa wiki imesha katika, vipi mmeongeza makilo mangapi mpaka leo hii? Mimi kwa upande wangu mambo yalikuwa moto moto, ni MAFUTARIIIII ya nguvu.

Basi mimi sisemi mengi, nitawaacha tu na mapicha ya mafutari niwape mawazo, labda itajibu maswali yenu ya tule nini leo?
SAMBUSAAAA!!!!
Huwa ni Kitafunio kinachopendwa na wote. 
Sambusa Volcanic Mountain, about to erupt.
Helicopter view of the Volcanic mountain.hahahha!
Kuna mtu moja nilienda kula futari kwao, nikakuta wanapika sambusa, akaniambia wao kwao
sambusa ikikosekana, hakieleweki. Na mimi nikambwambia sisi kwetu, bila Kalmati, hapakaliki.
Mambo ndio haya ya Chapati ya Maji.
This is a hit in every household.
Vibibi mnavijua jamani?
Nyongeza nyingine hii ya sukari, kubadilisha mlo.
Le manioc de noix de coco, MMPO?
Muhogo wa Nazi
Tambi et Kuku?
Mihogo unapendeza na nyama ya kukaanga, watu hupenda mbuzi au ngombe, lakini kuku pia inaenda.

  BIRIANIII!!!!!! 
Siku nyingine ni kupumzisha vyakula vya hapo juu, na ku weka vitu simple.
I hate to say this, but ni vigumu mtu kukonda aisee. Jaribu tu kutoshindilia.
Huu mlu ni mzuri kwa kuficha matunda na saladi, bila watu kujua wanayala kwa style hii.
CheeseCake - Mara moja moja pia Rukhsa.
Wiki ndio ilimalizika hivi. Wewe je?
Ukifuata ile style ya kula nilioisema ile post ya kwanza, mtaweza tu kuzi maintain hizo kilo.

1 comment: