Translate

Monday, June 3, 2019

Hadithi ya Leo - Dhawabu Mia (One Hundred Good Deeds)


Imehadithiwa na Abu Huraira:

Mtume wa Allah alisema, "Yoyote anayesema: 
" La ilaha illal-lah wahdahu la sharika lahu, lahu-l-mulk wa lahul- hamd wa huwa 'ala kulli shai'in qadir 
(Hakuna Mungu ila Allah pekee, bila Mwenzie. Yeye ndio Mmiliki, na Mwenye sifa zote, na Mwenye Nguvu juu ya kila kitu)," 
mara mia moja, atapata dhawabu sawa na mtu anayeachia watumwa kumi, na dhawabu mia moja itaandikwa kwenye hesabu zake, na dhambi mia zitafutwa kwenye hesabu zake, na itakuwa ngao yake kutoka kwa shetani siku hiyo mpaka usiku wake, na hamna atakayeweza kumzidi zaidi ya yule anayetenda mema zaidi yake.


 Narrated Abu Huraira:
Allah's Messenger (ﷺ) said," Whoever says: 
"La ilaha illal-lah wahdahu la sharika lahu, lahu-l-mulk wa lahul- hamd wa huwa 'ala kulli shai'in qadir 
(There is no god but Allah, alone, without partner. His is the sovereignty, and His the praise, and He has power over everything)," 
one hundred times will get the same reward as given for manumitting ten slaves; and one hundred good deeds will be written in his accounts, and one hundred sins will be deducted from his accounts, and it (his saying) will be a shield for him from Satan on that day till night, and nobody will be able to do a better deed except the one who does more than he." (Bukhari 6403)

Tukumbuke kufanya sunna ya kwenda kuutafuta Mwezi wa Iddi.

No comments:

Post a Comment