Translate

Saturday, May 11, 2019

Je Unapelelezwa na Simu Yako?

Lets get Educated! 
Jinsi ilivyo rahisi kuhack simu zenu za mkono.
Je! unatabia za ku download apps kwenye simu yako ya mkono mara kwa mara? Basi hii video inakulenga wewe. Facebook wanapelekeshwa kila siku na serizali za wenzetu, kwasababu wanachukua habari nyingi sana kutoka kwenye simu yako zaidi ya wewe unavyodhani.

Hizi app zinaweza ku access camera yako , mic yako ya simu na accounts zako za hela kama Tigo pesa na kadhalika. Hatari kweli, inabidi uwe muangalifu sana ni link gani una fungua kutoka kwenye simu yako, na ni apps gani una download.

Jamani Weekend ya kwanza ya Ramadhani Alhamdullillah tunaimalizia! 
Mwenyezu Mungu atuwezeshe tuweze kumaliza Ramadhani yetu salama. Msisahau kuwechekeni majirani zenu jamani ambao majiko yao hayawakagi mara nyingi.

No comments:

Post a Comment