Translate

Monday, February 11, 2019

Hadithi ya Leo - Theluthi ya Quran ( A third of the Quran)


Imehadhithiwa na Abu Hurairah:
Kwamba Mtume wa Allah alisema: " Jikusanyeni na nitawasomea theluthi ya Qurani. "
Akasema: " Yoyote aliyeweza akajikusanya, basi Mtume wa Allah akatoka na kusoma Qul Huwa Allahu Ahad, kisha akarudi ndani. Baadhi ya watu wakaanza kuambizana, "Mtume wa Allah alisema: 'Nitasoma theluthi ya Qurani, nilifikiri hizi ni habari za Peponi.'" Mtume wa Allah akatoka nje na kusema: " Ni Kweli nilisema nitawasomea theluthi ya Qurani, na hii ni kama theluthi ya Qurani."
 
Narrated Abu Hurairah:
that the Messenger of Allah (ﷺ) said: "Gather and I shall recite to you one third of the Qur'an." He said: "So whoever was to gather did so, then the Messenger of Allah (ﷺ) came out and recited Qul Huwa Allahu Ahad. Then he went back in. Some of them said to each other: "The Messenger of Allah (ﷺ) said: 'I shall recite to you one third of the Qur'an I thought that this was news from the Heavens. Allah's Prophet (ﷺ) came out and said: "Indeed I said that I would recite to you one third of the Qur'an, and it is indeed equal to one third of the Qur'an."
 (Tirmidhi: Vol. 5, Book 42, Hadith 2900)




Happy Monday! Msisahau kusoma Qul Huwa Allahu jamani.











No comments:

Post a Comment