Translate

Monday, November 6, 2017

Hadithi ya Leo - Nini Uislamu (What is Islam)


Ime hadithiwa na Abu Huraira kwamba Mtume wa Allah alisema:
Niulizeni vitu vinavyo husu dini, lakini wale(masahaba wa mtume) kwa kumhesimu Mtume walishindwa kuuliza maswali. 

Akaja mtu wasiomjua na kukaa karibu na mtume akauliza, Mtume wa Allah, nini Uislamu?
Mtume Akamjibu, Hutakiwi kumshirikisha Allah na chochote, unatakiwa uswali, ulipe Zakat kwa maskini, na ufunge mwezi wa ramadhani. Yule Mtu akasema, umeongea ukweli. 

Akauliza tena, Mtume wa Allah, nini Imani?  
Mtume Akamjibu, Kumuani Allah, Malaika wake, vitabu vyake, kukutana naye, mitume wake, na kuamini siku ya kufufuka na Qadr(Amri zake). Yule Mtu akasema, umeongea ukweli.

Akauliza tena, Mtume wa Allah, nini ihsan? 
Mtume Akajibu, Ihsan inamaanisha kwamba 
unamuogopa Allah kama vile unamuona, japokuwa humuoni, lakini yeye anakuona. Yule Mtu akamjibu, umongea ukweli.

Akauliza tena, lini siku ya kiyama? 
Mtume Akamajibu, Yule anayoulizwa hana huo ujuzi kuliko muulizaji. Lakini mimi nitahadithia baadhi ya ishara zake, nazo ni: ukimuona mtumwa akizaa mkuu wake, hiyo ni moja ya ishara zake, ukimwona mtu peku, bila nguo, kiziwi na bubu( yaani mtu Mjinga na mpumbavu) ndio anayoiongoza dunia, hiyo ni moja ya ishara zake. Ukiona wachungaji wa ngamia weusi wakifurahia majengo, hiyo ni moja ya ishara zake.
Kiyama ni moja ya vitu vitano vilivyo kwenye vitu visivyojulikana. Hamna anayeyajua isipokuwa Allah. Alafu mtume akasoma aya hii kutoka kwenye Qur'an.
Hakika Allah, ni yeye pekee anayejua kuhusu siku ya kiyama, na ni yeye mwenye kutuma mvua, na anajua yaliyoko kwenye matumbo. Na hakuna anayejua yatakayo mkuta kesho, na atakapofia. Ni Allah ndio anayejua na anayefahamu.

Abu Huraira akasema, Yule mtu akaamka na kuondoka zake. Mtume wa Allah, akasema mtafuteni, masahaba wakamtafuta lakini hawakumpata.
Hapo ndio mtume wa Allah akasema, yule alikuwa ni Jibril, alitaka kuwafundisha nyinyi vitu vya dini, mlivyoshindwa kuuliza wenyewe.


It is narrated on the authority of Abu Huraira that the Messenger of Allah (ﷺ) said:
Ask me (about matters pertaining to religion), but they (the Companions of the Holy Prophet) were too much overawed out of profound respect for him to ask him (anything). 

In the meanwhile a man came there, and sat near his knees and said: Messenger of Allah,
 What al-lslam is? 
-to which he (the Holy Prophet) replied: You must not associate anything with Allah, and establish prayer, pay the poor-rate (Zakat) and observe (the fasts) of Ramadan. He said: You (have) told the truth. 

He (again) said: Messenger of Allah, What al-Iman (the faith) is?  
He (the Holy Prophet) said: That you affirm your faith in Allah, His angels, His Books, His meeting, His Apostles, and that you believe in Resurrection and that you believe in Qadr (Divine Decree) in all its entirety, He (the inquirer) said: You (have) told the truth. 

He (again) said: Messenger of Allah, What al-Ihsan is? 
Upon this he (the Holy Prophet) said: (Al-Ihsan implies) that you fear Allah as if you are seeing Him, and though you see Him not, verily He is seeing you. He (the inquirer) said: You (have) told the truth. 

He (the inquirer) said: When there would be the hour (of Doom)? 
(Upon this) he (the Holy Prophet said: The one who is being asked about it is no better informed than the inquirer himself. I, however, narrate some of its signs (and these are): when you see a slave (woman) giving birth to her master - that is one of the signs of (Doom) ; when you see barefooted, naked, deaf and dumb (ignorant and foolish persons) as the rulers of the earth - that is one of the signs of the Doom. And when you see the shepherds of black camels exult in buildings - that is one of the signs of Doom. The (Doom) is one of the five things (wrapped) in the unseen. No one knows them except Allah. Then (the Holy Prophet) recited (the following verse):

" Verily Allah! with Him alone is the knowledge of the hour and He it is Who sends down the rain and knows that which is in the wombs and no person knows whatsoever he shall earn on morrow and a person knows not in whatsoever land he shall die. Verily Allah is Knowing, Aware". 

He (the narrator, Abu Huraira) said: Then the person stood up an (made his way). The Messenger of Allah (ﷺ) said: Bring him back to me. He was searched for, but they (the Companions of the Holy Prophet) could not find him. The Messenger of Allah (ﷺ) thereupon said: He was Gabriel and he wanted to teach you (things pertaining to religion) when you did not ask (them yourselves).
(Sahih Muslim Book 1 Hadith 7)



No comments:

Post a Comment