Translate

Friday, May 26, 2017

Vitu vitano vitakavyo kufanikishia Funga Yako (Ramadhan Tips)

1. Usile chakula kingi. (Gawa utombo sehemu tatu. 1/3 Maji, 1/3 Chakula, 1/3 ya kuhema)
2. Toa Sadaka kila siku kidogo kidogo. Ata ile kufuturisha kila siku pia ni sadaka.
3. Sali sala tano kila siku. Sala 5 zimelazimishwa na zina uzitu kuliko Salaa ya taraweeh ambayo ni sunna.
4. Soma Qur'an kwa utaratibu ili uweze kuilewa.
5.Kuwa na uamko wa Allah (Mcha Mungu). Hii itakusaidia usitende madhambi, kwa kuichunga nafsi yako na maovu.

Ramadhan Kareem Everybody! You got this.

No comments:

Post a Comment