Translate

Monday, January 26, 2015

Mfalme Abdullah bin AbdulAziz Al Saud Afariki Dunia(1924-2015)


Mfalme wa Saudi na Mlinzi wa Msikiti Miwili Mitakatifu, Abdullah bin AbdulAziz Al Saud Alifariki Dunia tarehe 23, Januari 2015. Alichukua Ufalme mwaka 2005 baada ya kaka yake kufariki. Marehemu ni mtoto wa Ibn Saud ambayo ndo aliyo anzisha Nchi ya Saudi Arabia. Ni wakati wa ufalme wake, wanawake wali ruhusiwa kupiga kura na kushindana kwenye michezo ya Olympics.Mfalme Abdullah alifariki na Pneumonia akiwa na miaka 90.

Mfalme Akiswaliwa
 Na Kaburi Lake alipozikwa.

Innalillahi Waina Illahi Rajiun. Kwa Mwenyezi ndio tulipotoka na ndo tunapo rejea. Mwenyezi Mungu aridhike nae na ampokee kwenye Pepo yake.

No comments:

Post a Comment