Translate

Saturday, June 28, 2014

Aya ya Leo - Ramadhani




Mwezi wa Ramadhani ambao imeteremshwa humo Qur'ani kuongoza watu na hoja zilizo wazi za uongozi na upambanuzi. Basi atakaye uona [Mwezi] katika mwezi huu afunge. Na aliye mgonjwa au safarini, basi atimize hisabu katika siku nyengine. Mwenyezi Mungu anakutakieni yaliyo mepesi wala hakutakieni yaliyo mazito, na mtimize hiyo hisabu, na mumtukuze Mwenyezi Mungu kwa kuwa ame kuongozeni ili mpate kushukuru.

The month of Ramadhan [is that] in which was revealed the Qur'an, a guidance for the people and clear proofs of guidance and criterion. So whoever sights [the new moon of] the month, let him fast it; and whoever is ill or on a journey - then an equal number of other days. Allah intends for you ease and does not intend for you hardship and [wants] for you to complete the period and to glorify Allah for that [to] which He has guided you; and perhaps you will be grateful.
"

 -- Surat Al-Baqarah 2:185

No comments:

Post a Comment