Translate

Monday, April 13, 2020

Hadithi ya Leo - Karantini (Quarantine)



Imehadithiwa na Saud:
Mtume (ﷺ) alisema, "ukisikia kuna mripuko wa ugonjwa unaoambukiza kwenye ardhi, usiingie; lakini kama ugonjwa huo ukitokea sehemu ulipo, usiondoke sehemu hiyo."

Narrated Saud:
The Prophet (ﷺ) said, "If you hear of an outbreak of plague in a land, do not enter it; but if the plague breaks out in a place while you are in it, do not leave that place."  
(Sahih Al-Bukhari 5728)

Stay Safe everyone! 
May Allah protect us all.


Friday, April 3, 2020

Things we take for granted - The Adhan (Call for Prayer)

If you have one of these folks in your neighborhood mosque, remember to seek them out and leave a little tip.
God is truly Great!
 Now hurry up to prayer!
Jumaa Mubarak!

Wednesday, March 18, 2020

Governor wa New York - Cuomo Akitoa maelezo ya virusi vya Corona (Covid-19)

Angalieni wenzetu vile wanaelezea vizuri
Ni hivi, 
Kuna wagonjwa wangapi?
Vitanda vya ICU vingapi?
ICU ventilator ngapi?
Na wafanyakazi (madaktari na ma nesi) wangapi?
Na ni vitu gani wanafanya kuhakikisha wanashughulikia hayo maswali hapo juu.

Mwenyezi Mungu atustiri na hili gonjwa.

Friday, March 6, 2020

Aya za Leo - Amka Uswali


Ewe uliye jifunika!
Amka uswali usiku, isipokuwa kidogo tu!
Nusu yake, au ipunguze kidogo.
Au izidishe - na soma Qur'ani kwa utaratibu na utungo.
Hakika Sisi tutakuteremshia kauli nzito.
Hakika kuamka usiku kunawafikiana zaidi na moyo, na maneno yake yanatua zaidi.


O you who wraps himself [in clothing],
Arise [to pray] the night, except for a little -
Half of it - or subtract from it a little
Or add to it, and recite the Qur'an with measured recitation.
Indeed, We will cast upon you a heavy word.
Indeed, the hours of the night are more effective for concurrence [of heart and tongue] and more suitable for words.
(Qur'an 73:1-6)
Jumaa Mubarak!

Monday, March 2, 2020

Hadithi ya Leo - Jinsi ya Kuomba Toba (How to ask for forgiveness)

 Happy Monday!
Abu Huraira alihadithia:
Mtume wa Allah, alikuwa akisema haya wakati amesujudu: " Ewe Mwenyezi Mungu, nisamehe madhambi yangu yote, madogo na makubwa, la kwanza na la mwisho, linalojulikana na lisilojulikana."

Abu Huraira reported:
The Messenger of Allah (ﷺ) used to say while prostrating himself: O Lord, forgive me all my sins, small and great, first and last, open and secret
. (Muslim 483)

Coronavirus: Is This How We Die? | The Daily Show