Na Ibrahim pale alipo waambia watu wake: Muabuduni Mwenyezi Mungu, na mcheni Yeye. Hiyo ndiyo kheri yenu, ikiwa nyinyi mnajua.Hakika nyinyi mnaabudu masanamu badala ya Mwenyezi Mungu, na mnazua uzushi. Hakika hao mnao waabudu badala ya Mwenyezi Mungu hawakumilikiini riziki yoyote. Takeni riziki kwa Mwenyezi Mungu, na mumuabudu Yeye, na mumshukuru Yeye. Kwake Yeye ndio mtarudishwa. Basi haikuwa jawabu ya watu wake ila ni kusema: Muuweni au mchomeni moto! Mwenyezi Mungu akamwokoa na moto. Hakika katika hayo zipo Ishara kwa watu wanao amini. Na alisema: Hakika nyinyi mmeyashika masanamu badala ya Mwenyezi Mungu kwa mapenzi yaliyo baina yenu katika uhai wa duniani. Kisha Siku ya Kiyama mtakataana nyinyi kwa nyinyi, na mtalaaniana nyinyi kwa nyinyi. Na makaazi yenu ni Motoni. Wala hamtapata wa kukunusuruni. Lut'i akamuamini, na akasema: Mimi nahamia kwa Mola wangu Mlezi. Hakika Yeye ndiye Mwenye nguvu, Mwenye hikima. Na tulimtunukia (Ibrahim) Is-haq na Yaa'qub. Na tukajaalia katika dhuriya zake Unabii na Kitabu, na tukampa ujira wake katika dunia; naye hakika katika Akhera bila ya shaka ni katika watu wema.
And [We sent] Abraham, when he said to his people, "Worship Allah and fear Him. That is best for you, if you should know.You only worship, besides Allah , idols, and you produce a falsehood. Indeed, those you worship besides Allah do not possess for you [the power of] provision. So seek from Allah provision and worship Him and be grateful to Him. To Him you will be returned."And if you [people] deny [the message] - already nations before you have denied. And there is not upon the Messenger except [the duty of] clear notification.
And  the  answer  of  Abraham's
  people  was  not  but  that  they  said,  "Kill  him  or  burn him,"  
but Allah saved  him  from  the  fire.  Indeed  in  that  are  signs  
for  a  people  who believe.And  [Abraham]  said,  "You  
have  only  taken,  other  than Allah ,  idols  as  [a  bond  of] 
affection  among  you  in  worldly  life.  Then  on  the  Day  of  
Resurrection  you  will  deny  one another  and  curse  one  another,  
and  your  refuge  will  be  the  Fire,  and  you  will  not  have any  
helpers."But Lut had faith in Him: He said: "I will leave home for the  sake of my Lord: for He is Exalted in Might, and Wise."And  We  gave  to  Him  Isaac  
and  Jacob  and  placed  in  his  descendants  prophet-hood  and 
scripture.  And  We  gave  him  his  reward  in  this  world,  and  
indeed,  he  is  in  the  Hereafter among  the  righteous. 


No comments:
Post a Comment